Wakati nchi yao ilipovamiwa na Urusi miezi 10 iliyopita, wanawake kadhaa wa Ukraine waliamua kujiunga na wanaume kwenda mstari wa mbele kupambana na wavamizi, lakini miongoni mwa matatizo waliyokabiliana nayo ni ukosefu magwanda ya kijeshi, hadi pale wabunifu wa mitindo walipojitolea kushona sare maalum za wanawake.