1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanajeshi wa MONUSCO wajiandaa kuondoka DRC

01:26

This browser does not support the video element.

Sylvia Mwehozi
3 Mei 2024

Baada ya zaidi ya miaka 20, Ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa MONUSCO umeanza kuondoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya kutakiwa kufanya hivyo na mamlaka za nchi hiyo. Baadhi ya raia mashariki mwa Kongo wahofia kuondoka kwa wanajeshi wa Umoja wa Mataifa.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW