1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wananchi wa Arusha wajitokeza kwa wingi kupiga kura

Elizabeth Shoo25 Oktoba 2015

Mgombea wa urais kwa tiketi ya CHADEMA, Edward Lowassa, amepiga kura yake nyumbani Monduli. Wakazi wa Arusha wameelezea kufurahia ulinzi katika vituo vya kupigia kura.

Uchaguzi Tanzania
Picha: Reuters/S. Said

[No title]

This browser does not support the audio element.

Mamia kwa mia ya watu walijihimu mapema kuwahi katika vituo vya kupiga kura katika majimbo mbalimbali ya uchaguzi na kushuhudia kasoro za kawaida ambazo zilirekebishwa na wasimamizi wa vituo mbalimbali na hatimaye wapiga kura walianza zoezi kwa amani na utulivu.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW