1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

"Wanaoteuliwa kinyume na matarajio hawaendi kufanya kazi"

19 Novemba 2015

Waziri Mkuu mpya wa Tanzania, Kassim Majaliwa, hajawahi kushikilia wadhifa mkubwa kitaifa. Kutokana na hali hiyo, hakuwa tegemeo la wengi kupewa nafasi ya uwaziri mkuu. Mchambuzi Julius Mtatiro atoa maoni yake.

Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa
Picha: DW/H. Bihoga

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW