Katika kipindi hiki bibi Vivian Kiteke mwanasheria na mwenyekiti wa tume ya kupambana na Ubakaji anaeleza kazi za tume hiyo na matatizo yake.
Kina mama katika harakatiPicha: AP
Matangazo
Sikiliza kipindi cha Wanawake na Maendeleo kinachotayarishwa na Zainab Aziz kutoka idhaa ya Kiswahili ya radio D/W ili upate kufahamu juu ya maswala mbali mbali yanayoshughulikiwa na wanawake.