1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanawake na wanafunzi waandamana kutaka amani Beni

02:24

This browser does not support the video element.

23 Aprili 2021

Wanafunzi wa shule za msingi pamoja na sekondari wamekusanyika kwenye ofisi ya Meya wa mji wa Beni nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na wamesema wataendelea kubakia mahala hapo hadi rais Félix Tshisekedi atakapokwenda mjini humo. Wakati huohuo wanawake wa mji huo pia wameandamana kutaka amani

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW