JamiiWanawake wa Namibia na uasi dhidi ya ukoloni01:36This browser does not support the video element.Jamii24.01.202524 Januari 2025Uvamizi wa kikoloni wa Ujerumani nchini Namibia dhidi ya jamii za Nama na Herero ulimaanisha vita vya jamii nzima, siyo vya askari pekee. Manusura walipitia madhila ya kutisha, lakini wanawake walistahamili na kupambana kuihami jamii yao.Nakili kiunganishiMatangazo