1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanawake waandamana nchini DRC kupinga vitendo vya Ubakaji

10 Novemba 2008

Maelfu ya wanawake wa Kongo wameandamana mjini Kinshasa ilikupinga vitendo vya ubakaji wanavyotendewa wanawake wenzao na ukosefu wa usalama mashariki mwa nchi hiyo.

Wanawake walioathirika na ubakaji nchini DRCPicha: picture-alliance/dpa

Wanawake hao ambao wamepanga kuandamana kwa kipindi cha siku tatu mfululizo wameiomba jumuiya ya kimataifa kuwarejesha makwao wapiganaji wa kigeni hasa wale wa FDLR kutoka Rwanda.

Taarifa kamili na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo




Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW