1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanawake wanaweza: Mwenyekiti wa kata ya Enguserosambu wilaya ya Ngorongoro

02:59

This browser does not support the video element.

23 Septemba 2020

Nani kasema wanawake hawawezi? Kutana na mwanamke wa kimaasai Noorkiyengop Mbama ambaye ni Mwenyekiti wa kata ya Enguserosambu wilaya ya Ngorongoro mkoa wa Arusha kaskazini mwa Tanzania. Mbama ni mwanamke wa kwanza kuiongoza kata hiyo ya Enguserosambu.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW