WAPALESTINA 3 WAPIGWA RISASI:08.01.20048 Januari 2004Nakili kiunganishiMatangazoNABLUS: Wapalestina 3 wameuawa baada ya kupigwa risasi na vikosi vya Israeli vilivyovamia miji ya Nablus na Tulkarem katika Ukingo wa Magharibi.Kwa mujibu wa vyombo vya habari Wapalestina hao walikuwa wanachama wa makundi ya wanamgambo.