1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wapalestina 41 wauawa Gaza

14 Mei 2018

Wanajeshi wa Israel wamewaua Wapalestina 41 karibu na mpaka wa Ukanda wa Gaza

Proteste im Gazastreifen an der Grenze zu Israel
Picha: Reuters/M. Salem

Wanajeshi wa Israel wamewaua Wapalestina 41 karibu na mpaka wa Ukanda wa Gaza wakati waandamanaji wenye ghadhabu wakiandamana kupinga hatua ya Marekani kuhamisha ubalozi wake kutoka Tel Aviv hadi Jerusalem. Hayo ni kwa mujibu wa maafisa wa Afya.

Idadi hiyo ya vifo vya Wapalestina ndiyo ya juu zaidi kutokea kwa siku moja tangu kuanza kwa maandamano hayo Machi 30, na pia juu zaidi tangu vita vya Gaza vya 2014.

Maafisa wa afya wamesema kuwa Wapalestina 900 wamejeruhiwa, 450 wakiwa na majeraha ya risasi.

Mwandishi: John Juma/RTRE

Mhariri: Iddi Sessanga

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW