1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wapiga kura wa mara ya kwanza hawafurahii matokeo ya uchaguzi

03:08

This browser does not support the video element.

30 Septemba 2021

Vijana wengi nchini Ujerumani wanasema wamesikitishwa na matokeo ya uchaguzi. Ikiwa ingetegemewa tu wapiga kura wa mara ya kwanza na vijana, kama chama cha Kijani (Grüne) kingepata ushindi mkubwa na kama chama chenye nguvu na chama cha cha Kiliberali cha Free Democratic FDP kingechukua nafasi ya pili.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW