1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wapiganaji sita wa chama cha FNL PALIPEHUTU waachiwa huru Burundi

13 Februari 2007

Serikali ya Burundi imewaachia huru wapiganaji sita wa chama cha FNL PALIPEHUTU, ikiwa ni moja kati ya maridhiano ya kurejea katika serikali ya kitaifa nchini humo.

Hata hivyo, ujumbe wa chama hicho uliyofika huko Bujumbura umesema kuwa bado kuna wapiganaji wake wengine watatu hawajulikani walipo na chama hicho kinahofu kuwa huenda waluawa.

Kutoka Bujumbura Hamida Issa anaripoti zaidi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW