1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Warsha ya Elimu juu ya amani iliyofanyika mjini Mombasa,Kenya

16 Septemba 2009

<p>Mkutano wa siku tatu wa mawaziri wa elimu kutoka mataifa yanayokabiliwa au kuwahi kukumbwa na mizozo barani Afrika, umemalizika jana Mjini Mombasa Kenya.

Mawaziri wakipitisha azimio la kujumuishwa kwa somo la kudumisha amani kwenye utaratibu wa masomo katika nchini zao

Mwandishi wetu Eric Ponda amekuwa akifuatilia mkutano huo na kutuandalia taarifa ifuatayo.

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi