Warsha ya Elimu juu ya amani iliyofanyika mjini Mombasa,Kenya
16 Septemba 2009
<p>Mkutano wa siku tatu wa mawaziri wa elimu kutoka mataifa yanayokabiliwa au kuwahi kukumbwa na mizozo barani Afrika, umemalizika jana Mjini Mombasa Kenya.
Matangazo
Mawaziri wakipitisha azimio la kujumuishwa kwa somo la kudumisha amani kwenye utaratibu wa masomo katika nchini zao
Mwandishi wetu Eric Ponda amekuwa akifuatilia mkutano huo na kutuandalia taarifa ifuatayo.