1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

WASHINGTON: Ajali ya ndege imeua watu 49

27 Agosti 2006

Ndege ya shirika la Comair,ikiwa na watu 50 imeanguka Kentucky nchini Marekani.Ripoti zinasema watu wote isipokuwa mmoja wamefariki. Hali ya abiria huyo ni mahututi.Kwa hivi sasa bado haijulikani nini kilichosababisha ndege hiyo kuanguka muda mfupi tu baada ya kuondoka uwanja wa ndege wa Lexington.Maafisa wa usafiri wa ndege wamesema,ndege hiyo ilikuwa ikielekea Atlanta nchini Marekani.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW