1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Washington. Jeshi lakaripia wanaanga 70.

21 Oktoba 2007

Jeshi la anga nchini Marekani limewakaripia wanaanga 70 wa jeshi hilo waliohusika katika ajali ya ndege ya kijeshi yenye silaha za kinuklia chapa B-52 ya mashambulizi. Uchunguzi umegundua uzembe mkubwa kuhusiana na kupuuzwa kwa sheria.

Wakati wa kurusha ndege hiyo kutoka Minot karibu na mpaka na Canada kwenda Barksdale katika jimbo la Louisiana , ndege hiyo ya kivita B-52 ilikuwa na makombora sita ya kinuklia. Mwanzoni hakuna mtu aliyetambua makosa hayo. Makombora hayo yalikuwa yanapelekwa Louisiana , lakini silaha hizo za kinuklia zilibidi kuondolewa mapema.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW