1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

WASHINGTON: Marekani itaendelea kuishinikiza Burma

28 Septemba 2007

Marekani imezuia mali ya maafisa waandalizi 14 wa Burma,baada ya serikali ya kijeshi kutumia nguvu kukandamiza maandamano ya amani.Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani,Condoleezza Rice alipozungumza katika Umoja wa Mataifa mjini New York, alisisitiza kuwa Washington itaendelea kuishinikiza serikali ya Rangoon.Wakati huo huo, Bunge la Umoja wa Ulaya limetoa mwito kwa China, iliyo mshirika wa Burma,kujiunga na wanachama wengine wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, kulaani ukandamizaji nchini Burma.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW