1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Washington. Marekani yakanusha kumuua kiongozi wa Al-Qaida.

5 Oktoba 2006

Jeshi la Marekani imekanusha ripoti kuwa imemuua kiongozi wa al Qaida nchini Iraq Abu Ayyub- al -Masri.

Msemaji wa jeshi la Marekani amesema kuwa hapo kabla walidhania ni mmoja kati ya watu waliouwawa katika shambulio, lakini hivi sasa wanaamini kuwa huenda haikutokea hivyo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW