1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

WASHINGTON : Mswada wa azimio la Iran waungwa mkono na Marekani

12 Desemba 2006

Marekani imetia saini mswada wa azimio uliopendekezwa na nchi za Ulaya kuiwekea Iran vikwazo kuhusika na mradi wake wa nyuklia.Waziri wa mambo ya nje wa Marekani,Condoleezza Rice amesema,ni matumaini yake kuwa mswada huo utapitishwa kwa haraka katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.Azma ya vikwazo hivyo vinavyoweza kuanza kufanya kazi kabla ya mwisho wa mwaka huu,ni kuishinikiza Iran kuachilia mbali mradi wake wa nyuklia.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW