1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

WASHINGTON.Bush kuwasilisha bajeti ya vita vya Irak

5 Februari 2007

Rais George Bush wa Marekani anapanga kuwasilisha bajeti ya vita vya Irak itakayo fikia takriban dola bilioni mia tatu kwa kipindi cha miaka miwili na nusu ijayo.

Bush anatarajiwa kupendekeza upungufu katika matumizi ya ndani katika mwaka 2008.

Bajeti hiyo ambayo pia inahusisha asilimia 10.5 ya ongezeko katika bajeti ya kijeshi ni ya kwanza kufikishwa mbele ya Kongress inayothibitiwa na chama cha Demokratik.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW