1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wasichana waliojitolea kuwashonea barakoa wazee na yatima

02:34

This browser does not support the video element.

13 Mei 2020

Kutana na kikundi cha wasichana, mafundi cherehani kutoka Mtwara Tanzania walioamua kuwashonea barakoa bure wazee, yatima na wasiojiweza. Je wewe kwa nafasi yako umewahi kujitolea kufanya nini kuwasaidia wengine wenye uhitaji?Video na Salma Mkalibala. #Kurunzi 13.05.2020

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW