1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wasiwasi Kenya

01:48

This browser does not support the video element.

25 Oktoba 2017

Jaji mkuu wa Kenya amelazimika leo kuahirisha kusikilizwa pingamizi juu ya kufanyika au kucheleweshwa kwa uchaguzi mpya wa rais, kwa kuwa ni majaji wawili tu kati ya saba wamefika mhakamani leo. Na Wakurd wa Iraq wasimamisha kwa muda matokeo ya kura ya maoni ya kutaka kujitenga na Iraq.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW