Wataalamu wa kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo
18 Septemba 2007
Wataalamu wa kijeshi wa jumuiya ya kimataifa na wale wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wamekutana mjini Kinshasa kwa ajili ya kutafakari kuhusu mageuzi ya sekta ya kiusalama na muundo wa jeshi nchini humo.
Matangazo
Taarifa kamili na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo kutoka Kinshasa.