1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Watanzania wanne wauliwa Msumbiji

Elizabeth Shoo11 Februari 2016

Kamanda wa polisi mkoani Mtwara, Henry Mwaibambe, anaripoti kwamba Watanzania hao walikuwa wakifanya biashara ya madini Msumbiji. Inaaminika kwamba wauaji walikuwa majambazi.

Majeneza ya Watanzania waliouliwa Msumbiji
Picha: DW/S. Mkalibala

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW