Mashirika ya kutetetea haki za binadamu yamelaani mauaji ya vijana wawili yaliyofanywa na maafisa wa polisi hivi majuzi nchini Kenya, yakisema yanakusanya ushahidi kuwafungulia mashtaka maafisa hao.
Picha: Reuters/T. Mukoya
Matangazo
M MT/J2.05.04.2017-Kenya Human Rights Commission Press briefing on Police k - MP3-Stereo
This browser does not support the audio element.
George Morara, naibu mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu Kenya, katika mahojiano na mwandishi wa DW, Shisia WasilwaPicha: DW/S. Wasilwa
Daniel Onyango, mkazi wa Eastleigh walikouliwa vijana wawili na polisi, ataka polisi wazingatie sheriaPicha: DW/S. Wasilwa