1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Watetezi wa haki wakosoa polisi Kenya

5 Aprili 2017

Mashirika ya kutetetea haki za binadamu yamelaani mauaji ya vijana wawili yaliyofanywa na maafisa wa polisi hivi majuzi nchini Kenya, yakisema yanakusanya ushahidi kuwafungulia mashtaka maafisa hao.

Askari polisi Kenya
Picha: Reuters/T. Mukoya

M MT/J2.05.04.2017-Kenya Human Rights Commission Press briefing on Police k - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

                  

George Morara, naibu mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu Kenya, katika mahojiano na mwandishi wa DW, Shisia WasilwaPicha: DW/S. Wasilwa
Daniel Onyango, mkazi wa Eastleigh walikouliwa vijana wawili na polisi, ataka polisi wazingatie sheriaPicha: DW/S. Wasilwa
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW