1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Watoto milioni 28 hawana makazi duniani sababu ya vita

01:43

This browser does not support the video element.

7 Septemba 2016

UNICEF yatoa ripoti inayosema watoto milioni 28 hawana makazi duniani kutoka na mizozo ya vita. Ndege za kivita za Syria zashutumiwa kuangusha mabomu yaliyo na gesi ya Chlorine. Na mamlaka za Uturuki zimeuchukua kwa nguvu mkanda wa mahojiano ya DW na waziri wa michezo na vijana wa Uturuki.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW