1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

WATOTO WANYANGANYWA SILAHA:

18 Januari 2004
MONROVIA: Shirika la Umoja wa Mataifa-UNICEF limeanzisha kampeni kuu ya kuwanyanganya silaha wale watoto waliopigana vitani pamoja na waasi na vikosi vya serikali nchini Liberia.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW