Watu 286 wamejeruhiwa katika maandamano Morocco
1 Oktoba 2025
Matangazo
Taarifa ya wizara hiyo iliyotolewa Jumatano imeeleza kuwa waandamanaji walitumia visu na kurusha vilipuzi na mawe.
Waandamanaji wa Morocco wanataka mageuzi katika sekta ya afya na elimu.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, watu 409 wamekamatwa na polisi wakihusishwa na ghasia hizo.
Katika mji wa Casablanca, waandamanaji 24 walioweka vizuizi kwenye barabara kuu wanachunguzwa.