1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Watu 39 wauwawa Msumbiji

00:58

This browser does not support the video element.

19 Juni 2018

Watu 39 wameuwawa na wengine zaidi ya 1,000 kusalia bila makazi baada ya kushambuliwa na vijiji vyao kuchomwa moto jimboni Cabo Delgado, Msumbiji.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW