1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wauguzi wafukuzwa kazi nchini Kenya

9 Machi 2012

Utoaji huduma katika hospitali, vituo vya afya na zahanati zinazomilikiwa na Serikali nchini Kenya imezorota, kufuatia mgomo wa wauguzi na hatua ya serikali kuwafukuza kazi, wauguzi wapatao elfu ishirini na tano.

Mgonjwa hospitalini bila kuhudumiwa.
Mgonjwa hospitalini bila kuhudumiwa.Picha: picture alliance/imagestate/Impact Photos

Serikali imetangaza hatua hiyo kwa kile inachodai kushindwa kuendelea kuona maelfu ya wagonjwa wakitaabika, bila huduma.

Pendo Paul amezungumza na Mwenyekiti wa Muungano wa Madaktari nchini Kenya Dr.Victor Ngány .

(Kusikiliza mazungumzo hayo tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: Pendo Paul

Mhariri: Mohamed Abdulrahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW