1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Waumini wafyatuliwa risasi nchini Marekani

10 Desemba 2007

Watu 5 wameuawa baada ya kupigwa risasi katika makanisa mawili kwenye jimbo la Colorado nchini Marekani.Katika shambulizi la kwanza watu 4 walipigwa risasi nje ya kanisa kubwa la Kiinjili mjini Colorado Springs.Hapo awali,watu 2 waliuawa na 2 wengine walijeruhiwa,ukingoni mwa mji wa Denver.Katika shambulizi hilo mtu mwenye bunduki aliingia katika kituo cha kuwafunza wamisionari vijana.Polisi hawajui ikiwa kuna uhusiano kati ya mashambulizi hayo mawili.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW