1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Waziri Mkuu Sudan asema hakuna atakaekwepa mkono wa sheria

01:03

This browser does not support the video element.

Yusra Buwayhid
19 Februari 2020

Katika mahojiano na mwandishi wa DW Aya Ibrahim, waziri mkuu wa serikali ya mpito nchini Sudan Abdalla Hamdok amesema watu wote walioshiriki vitendo vya uhalifu wakati wa utawala uliopita watashtakiwa. Pia anazungumzia uhusiano kati ya raia na wanajeshi katika serikali yake.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW