1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wenye ulemavu wa ngozi wapiga kura

25 Oktoba 2015

Walemavu wa Ngozi wanaoishi katika kambi maalumu ndani ya shule ya msingi Mazoezi Kabanga wilayani Kasulu, wamefanikiwa kushiriki kupiga kura wakionesha alama ya wino katika vidole vyao kuthibitisha kushiriki uchaguzi

Kigoma Tansania Albino Wahlen
Vinjana wenye ulemavu wa ngozi wapiga kura TanzaniaPicha: DW/P.Kwigize

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW