1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wito wa kuanzisha viwanda vya kuchakata dagaa Kigoma

05:38

This browser does not support the video element.

4 Machi 2021

Licha ya mkoa wa Kigoma magharibi mwa Tanzania kuwa na mavuno mengi ya ziwa Tanganyika, bado hakuna kiwanda cha kisasa cha kuchakata samaki wala dagaa ambao wanatajwa kuwa miongoni mwa chakula bora duniani kutokana na virutubisho vyake. Hawa Bihoga ametuandalia video ifuatayo:

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW