1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Zanzibar kufanyia mabadiliko katiba

30 Septemba 2016

Serikali ya Zanzibar imefanyia mabadiliko katiba ili kutoa uwezo kwa Rais wa Zanzibar kuteua wajumbe wa Tume ya Uchaguzi bila kushauriana na kiongozi wa kambi ya upinzani ndani ya baraza la wawakilishi.

Baraza la wawakilishi Zanzibar
Baraza la wawakilishi ZanzibarPicha: DW/S. Said

J3 2909 Zanzibar-Constituation Change - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW