1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Zanzibar yaadhimisha miaka 48 ya mapinduzi

12 Januari 2012

Leo tarehe 12 januari inatimia miaka 48 tangu kufanyika mapinduzi ya Zanzibar yaliyouondosha ufalme visiwani humo.

Rais wa Zanzibar Dr. Ali Mohammed Shein
Rais wa Zanzibar Dr. Ali Mohammed SheinPicha: DW

Othman Miraji amezungumza na mwandishi wa habari, Issa Yusuf, kutoka uwanja wa Amani/Unguja mjini kunakofanyika kilele cha sherehe hizo ambako Rais wa Zanzibar, Dr. Ali Mohammed Shein, aliwahutubia wananchi. Kwa mujibu wa Issa Yusuf, muhimu aliyoyasema Dr. Shein ni...

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW