MigogoroUlaya
Kiev: Urusi haina tena nguvu ya kufanya mashambulizi makubwa
18 Septemba 2025
Matangazo
Zelensky ameendelea kuwa Urusi iliendesha operesheni kubwa nne mwaka huu nchini Ukraine katika majimbo ya Sumy, Novopavlivka, Pokrovsk na Zaporizhzhya, akisema kuwa baadhi tayari zimeshindwa huku akivisifu vikosi vyake.
Urusi na Ukraine zimekuwa zikitoa mara chache takwimu juu ya hasara wanazopata kufuatia vita hivi ambapo wataalam wanaeleza kuwa takwimu zinazotolewa na pande zote mbili haziakisi ukweli kwa kuwa idadi ya vifo hupunguzwa maradufu.