1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ziara ya kwanza ya Kansela Olaf Scholz

01:04

This browser does not support the video element.

9 Desemba 2021

Baada ya kuchaguliwa na kuapishwa kwa Kansela mpya wa Ujerumani Olaf Scholz, rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alimuandikia kwamba watakutana siku ya Ijumaa. Kansela Scholz anatarajiwa kusafiri kwenda Paris na Brussels katika ziara yake ya kwanza nje ya nchi baada ya kuchukuwa hatamu za uongozi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW