1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

"Zitto ametukashifu Wazanzibari"

25 Novemba 2015

Mgombea wa ubunge Zanzibar kupitia CCM, Mohammed Said, asema si sawa kwa Zitto Kabwe kudai kuwa Mohammed Shein amefanya uhaini. Zitto Kabwe alisema hivyo alipozungumzia mkwamo wa kisiasa wa Zanzibar.

Vijana katika kampeni Zanzibar
Picha: DW/M. Khelef

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW