1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Zoezi la Uandikishaji wapiga kura visiwani Zanzibar

14 Septemba 2009

Uandikishaji kwa wapiga kura kisiwani Pemba bado kuna matatizo.

Mji Mkongwe wa ZanzibarPicha: DW /Maya Dreyer

Zoezi la kuandikisha wapiga kura kwenye daftari la kudumu la wapiga kura linaendelea visiwani Zanzibar kukiwa bado na matatizo yanayojitokeza na hali ikielezwa kuwa mbaya katika kisiwa cha Pemba. Kutokana na hali hiyo Majeshi ya usalama yameimarishwa kisiwani humo. Grace Kabogo amezungumza na mwandishi wetu Salma Said akiwa Pemba  na alianza kwa kumuuliza hali halisi ikoje kisiwani humo.

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW